HALMASHAURI WILAYA YA MBEYA BALAA WATUA UNGUJA KUJIFUNZA MBINU MPYA
Na Mwandishi wetu,DmNewsOnline, UNGUJA Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya katika kuongeza jitihada za kuweza kuongeza ufanisi mkubwa katika saula zima la uwajibikaji na kujinza mambo mbali mbali imeamua kwenda kufanya ziara maalumu ya kikazi Zanibar katika visiwa vya eneo la Unguja ambayo itaweza kuwasaidia watendaji pamoja na madiwani katika kuongeza weledi na utekelezaji wa majukumu yao mbali mbali ya kila siku. Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Mbeya Bi. Erica Yegella amebainisha kwamba katika ziara hiyo wameambatana na baadhi ya watendaji pamoja na madiwani mbali mbali kwa lengo la kuweza kwenda kujifunza mafunzo mbali mbali kwa kioindi cha siku nne ambayo yataweza kuwasaidia katika suala zima la utekelezaji wa majukumu yao ya kikazi ya kila siku. Yegella amesema kwamba lengo kubwa la Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia...