Posts

Showing posts from April, 2026

WAZIRI NCHENGERWA :ATAKAYESHINDWA KUENDANA NA KASI ILIYOPO ATAONDOLEWA

Image
Waziri wa Afya Mohamed Mchengerwa ( aliyevaa kofia) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa boti mpya ya kisasa kwa ajili ya kutolea huduma ya chanjo kwa watoto waishio maeneo ya visiwani katika Halmashauri ya Kibiti Mkoa wa Pwani,hafla ya uzinduzi huo ilifanyika Aprili 29/2026 katika Bandari ya Nyamisati Na Gustaphu Haule,DmNewsonline              PWANI WAZIRI wa Afya Mohamed Mchengerwa amesema kiongozi wa ambaye atasababisha kutokuwepo na dawa na vifaa tiba katika vituo vya kutolea huduma za afya vilivyopo katika eneo lake anatakiwa kujitathmini na endapo atashindwa kuendana na kasi iliyopo ataondolewa katika nafasi yake. Mchengerwa amewataja viongozi hao kuwa ni pamoja na Waganga wafawidhi wa Wilaya na timu zao, Waganga wafawidhi wa Mikoa na timu zao pamoja na Waganga wakuu wa Wilaya na Waganga wakuu wa Mikoa. Mchengerwa amesisitiza kwa mamlaka zote za sekta ya afya wakiwemo Waganga wakuu wa Mikoa na Wilaya kuhakikisha hakuna mgonjwa anayekosa dawa pal...

ORYX GAS WAENDELEA KUFUNGUA MADUKA YA NISHATI SAFI.

Image
  Na Mwandishi Wetu,DmNewsonline               DAR ES SALAAM  KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania imesema mkakati wake ni kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia huku pia ikisisitiza umuhimu wa elimu ya mara kwa mara kwa watumiaji ili wawe na uelewa namna bora ya kutumia nishati safi ya kupikia Hivyo katika kufanikisha mkakati huo Oryx Gas imeamua kuanzisha maduka maalum yatakayotumika kuhamasisha wananchi kutumia nishati safi kwa kusogeza huduma hiyo karibu lakini wakati huo huo maduka hayo yatatumika kutoa elimu ya matumizi bora na salama ya nishati safi. Akizungumza leo Aprili 30,2026 wakati wa ufunguzi wa duka maalum la kuuza mitungi ya Gesi ya Oryx la Wakala NASSCO lililopo eneo la Banana jijini Dar es Salaam ,Menaja Masoko na Mauzo Shaban Fundi amesema wanatambua juhudi za serikali katika kuhimiza nishati safi. “Oryx Gas ni vinara wa nishati safi ya kupikia hivyo tumeunganisha nguvu zetu kwa ku...

Blood and Fire in Sudan: The Cries of Innocent Civilians Amid the Fight Against RSF

Image
Chairman of The Transitional Sovereign Council of Sudan Abdel Fattah Al-Burhan. By Moses Ntandu, Dar es salaam               TANZANIA Some villages and towns in Sudan particularly in the regions of West Darfur, South Darfur, South and North Kordofan, and Blue Nile State continue to be gripped by the sound of gunfire, which has increasingly become a common backdrop in these areas. This harsh reality has shaken the hopes of innocent citizens striving to live normal lives and contribute to their nation’s future. Streets once filled with laughter and daily activity are now wrapped in silence, broken only by distant explosions, children’s cries, and the lingering smell of smoke after attacks. Much of the violence has been linked to alleged actions by the Rapid Support Forces (RSF), widely accused of serious human rights violations. Reports from international organizations describe disturbing scenes civilians beaten, abused, and killed. Women and child...

WAKAMATWA KWA KUSAFIRISHA KILO 166.71 ZA MIRUNGI

Image
  Na Allan Kitwe, DmNewsonline                TABORA  WATU 4 wamekamatwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Magharibi na kupandishwa kizimbani kwa tuhuma za kukutwa na vibunda 546 sawa na kilo 166.71 za dawa za kulevya aina ya mirungi. Watuhumiwa hao wamekamatwa April 17 mwaka huu Wilayani Igunga, Mkoani Tabora na kufikishwa katika Mahakama ya Wilaya ambapo walifunguliwa kesi ya uhujumu uchumi namba 4764 ya mwaka 2026. Waliokamatwa na kufikishwa katika Mahakama hiyo ni wanawake 3 na mwanaume 1, ambao majina yao ni Maige Kasawa (36), Nyanzala  Marwa (25), Manungwa  Makoye (38) na Hamisa Hussein (50), wote wakazi wa Igunga. Wakiwa Mahakama hapo, Mawakili wa Jamhuri walimwomba Hakimu apokee dawa hizo kama kielelezo cha ushahidi na atoe amri ya kuteketezwa kwa kuwa kina madhara kwa mtunzaji na kinaharibika kila muda unavyozidi kwenda.  Mahakama chini ya kifungu cha 38 kifungu kidogo cha 2, ...

MBUNGE LUTEVELE :MARUFUKU WALIMU KUFANYA BIASHARA ZA KACHORI DARASANI

Image
  Na Mwandishi wetu,DmNewsonline                IRINGA _MAFINGA  Mbunge wa Jimbo la Mafinga Dickson Lutevele (Villa), amepiga marufuku walimu kujihusisha na biashara ndogondogo darasani na kulazimisha wanafunzi kununua bidhaa hizo Hatua hiyo imekuja kufuatia malalamiko ya baadhi ya  wazazi wa mtaa wa Lutalawe kata ya Changarawe, waliodai kuwa baadhi ya walimu wamekuwa wakiendesha biashara ndani ya maeneo ya shule    hali inayosababisha kero kwa wazazi ya kutoa fedha kwa Watoto kila siku. Walimetaka mbunge kuingilia kati suala hilo ili kupunguza mzigo wa kifedha kwa familia kwani wanalazimika kutoa fedha kiasi cha shilingi 200 hadi 500 kila siku ili mtoto akanunue kachori kwa mwalimu,  Akijibu malalamiko hayo, mh. Lutevele alitoa agizo kwa maafisa elimu na watendaji kuhakikisha wanakomesha mara moja vitendo hivyo nakueleza kuwa serikali tayari imepiga marufuku michango holela mashuleni, hivyo walimu wanaolazimisha wana...

TRA :TUNAWEKEZA MIFUMO YA KIGITALI KUONGEZA WIGO WALIPA KODI.

Image
  Timothy Marko,DmNewsOnline             DAR ES SALAAM.  MAMLAKA ya Mapato Nchini Tanzania (TRA) imesema ili kuweza kuendana na kasi ya mabadiliko ya Sayansi na Teknolojia taasisi hiyo imelenga kutoa huduma zake kwa njia ya Kidijitali ili kuzifikia biashara kirahisi zaidi. Akizungumza Leo April 29,2026 jijini Dar es Salaam Kamishina wa Mamlaka ya Mapato Nchini CPA Yussufu Mwenda amesema kuwa biashara nyngi siku hizi zinahifadhiwa kwenye Maghala na kuuzwa kwa njia za kimtandao. "SaSa hivi kuna makundi ya walipa kodi kwa njia ya Kidijitali, wengi wao hawalipi kodi tunahitaji Usimamizi wa biashara za mitandaoni ,nilazima tuje na mawazo bunifu "Amesema Kamishina Mwenda.  . Mwenda Ameongeza kuwa katika kutafuta mawazo bunifu taasisi hiyo ili weza kupata mawazo bunifu takriban 1,5581  ambapo kati ya hayo 600 yaliweza kushinda kwa kushirikiana na Wananchi. Amesisitiza kuwa katika kutafuta mawazo bunifu yatakayo chochea mabadiliko ya kodi n...

MIAKA 40 YA NEMC: SAFARI YA TANZANIA KUELEKEA MUSTAKABALI WA KIJANI NA MAENDELEO ENDELEVU

Image
   Na Mwandishi wetu,Tanzania  KATIKA  dunia inayokabiliwa na changamoto kubwa za mabadiliko ya tabianchi, ongezeko la uchafuzi wa mazingira na kupungua kwa rasilimali asilia, hadithi ya Tanzania inajitokeza kama mfano wa matumaini, uthabiti na maamuzi ya kimkakati. Maadhimisho ya miaka 40 ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) si tukio la kawaida—ni kielelezo cha dhamira ya Taifa kulinda uhai wake huku likiendeleza uchumi wake. Kuanzishwa kwa NEMC mwaka 1986 kulikuja katika kipindi ambacho dunia ilikuwa inaanza kutambua kwa kina uhusiano kati ya mazingira na maendeleo. Tanzania, kwa maono ya mbali, iliweka msingi wa taasisi itakayokuwa mlezi wa rasilimali zake kwa vizazi vya sasa na vijavyo. DARUBINI YA MIAKA 40: MAFANIKIO YENYE ATHARI CHANYA Kwa miongo minne, NEMC imejidhihirisha kama nguzo ya maendeleo endelevu. Zaidi ya miradi 35,000 imepitia Tathmini ya Athari kwa Mazingira (EIA), hatua iliyowezesha uwekezaji kufanyika kwa uwajibikaji mku...

ZAO LA CHOROKO LALETA NEEMA KWA WAKULIMA TABORA

Image
  Na Allan Kitwe,DmNewsonline                  TABORA  CHAMA Kikuu cha Ushirika wa Wakulima (IGEMBEMBENSABO) kimeeleza kufurahishwa na mafanikio makubwa waliyopata wakulima wa zao la choroko na mazao mengine katika msimu uliopita na matarajio yao makubwa msimu huu. Meneja Mkuu wa Chama hicho kinachosimamia wakulima wa Wilaya za Igunga na Nzega, Baraka Samwel Kiboye ameeleza kuwa mafanikio hayo yamechochewa na kazi nzuri inayofanywa na serikali ya Awamu ya Sita kuinua sekta ya kilimo. Ameeleza kuwa katika msimu uliopita wakulima walizalisha jumla ya tani 1,800 za choroko kati ya makisio ya tani 2,000 na kuziuza kwa bei ya sh 1,500 kwa kilo kwa mfumo wa stakabadhi ghalani tofauti na ile ya kawaidia ya sh 800 hadi 1000. ‘Baada ya mauzo wakulima walilipwa zaidi ya shilingi bilioni 2.7 na zote ziliingia katika mifuko yao, haya ni mafanikio makubwa sana, na mwaka huu tunatarajia kupata kilo nyingi zaidi na zote zitauzwa kwa mfumo huo huo’...

MBUNGE MAFINGA AAGIZA TANESCO KUUNGANISHA UMEME KWA 2700

Image
  Na Mwandishi wetu ,DmNewsonline       IRINGA  MBUNGE  wa Jimbo la Mafinga Mjini, Dickson Lutevelle, amelitaka shirika la umeme Tanzania Tanesco wilayani Mufindi kutatua kero ya kukatikakatika kwa umeme kwa wakazi wa kata ya Rungemba kwani imekuwa ikididimiza Uchumi wa eneo hilo Pamoja na uharibifu wa mali. Hayo ameyasema katika ziara yake ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi wa vijiji vya Kitelewasi na Itimbo ambapo ameiagiza Tanesco kuhakikisha ndani ya wiki moja wanafikisha nguzo kwa gharama ya 27000, maeneo yote ambayo hayana nguzo za umeme huku akimlipia mmoja wa wananchi wa kitelewasi gharama za kufikishiwa nguzo. Awali wananchi walitoa kero zao mbele ya mbunge wa mafinga aliyeambatana na wataalamu kutoka halmashauri hiyo na kusema umeme umekuwa ni kero kubwa katika maeneo yao kwani umekuwa ukikatika kila wakati. Wameongeza kuwa katika Kijiji cha Kitelewasi kuna baadhi ya maeneo nguzo hazijafika na wanapofuatilia wamekuwa wikiahidiwa bila u...

WAZIRI GAO:MWENYEZI MUNGU ANAPENDA RANGI KIJANI NA NJANO HAPENDI RANGI NYEKUNDU.

Image
  Na Mwandishi wetu, DmNews Online          DAR ES SALAAM.  MKUTUGENZI wa Big Man Football Club nambapo pia mfanyaboashara mkubwa wa madini Waziri Gao  amesema kuwa ligi ya  na lengo kubwa nikuona BigMan siku Moja inashiriki ligi kuu Tanzania bara Gao amesema kuwa yeye kama mkurugenzi anajipanga vizuri na hata wachezaji wake mara kadhaa amekuwa akiwakumbusha dhamira ya timu ya BigMan ni kuona inapiga hatua kwa kupambana na ndio maana hata walipopafa nafasi ya kucheza michuano ya CRDB walionyeaha ushindani mkubwa dhidi ya timu walizocheza nazo ikiwamo Simba sc . Akizungumza Leo April 25,2026 Dm Newsonline   jijini Dar es Salaam Waziri Gao amesema uanzishwaji  wa  timu hiyo ya Big man Football Club nikutokana nakuwa na mchango Mkubwa kwa Vilabu vya Soka vinavyo shiliki Ligi kuu ya Tanzania ikiwemo baadhi ya vilabu vikubwa hapa Nchini . " Ndugu Mwandishi nataka ujuwe kuwa Mimi naitwa Mr.Big Man kutokana na Mchango wangu kweny...

COMMUNITY ACTION IS KEY TO REDUCING MALARIA IN TANZANIA

Image
DmnewsTz ‎ ‎As World Malaria Day on 25 April, approaches, there is a renewed call to strengthen malaria education for communities across Tanzania, where the disease continues to have far-reaching health, social, and economic impacts. ‎ ‎More than 600,000 lives were lost to malaria in 2024, the majority among young children in Africa. According to the World Malaria Report 2025, Tanzania, along with Nigeria and the Democratic Republic of Congo, account for more than half of the global malaria death burden. Despite significant progress in prevention and treatment, malaria remains a persistent and daily reality for millions of Tanzanians. ‎ ‎Beyond its immediate health effects, malaria continues to disrupt livelihoods and education. Repeated infections prevent adults from working consistently, placing strain on household incomes, while children miss critical school days, impacting both attendance and long-term learning outcomes. ‎ ‎While tools such as insecticide-treated bed nets, ...

MATUTA AKA MR CONNECTION AMETOA WITO KWA JAMII KULEA WATOTO KATIKA MALEZI MEMA

Image
Na Angelina Mganga,DmNewsOnline                    DAR. ES SALAAM  KIONGOZI wa Pili wa Mila,Tamaduni na Ustaarabu wa mtu Mweusi,Matuta Alkebulani anaefahamika kwa jina maarufu la Mr Connection ametoa wito kwa jamii kuwalea watoto katika maadili mema  na malezi Bora kwa kuzingatia haki ya msingi ya  mtoto ya kuishi . Akizungumza mwandishi wa habari Leo Aprili 22,2026 Ofisini kwake  maeneo ya Kibamba Chama Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es Salaam amebainisha kwamba watoto Wana haki ya msingi ya kuishi kwa hiyo yeye ameamua kutoa mali zake na raslimali pamoja nqnkutoa muda wake kwa ajili ya kuwalea na kuwasaidia watoto na vijana wa mtaani ili waweze kufikia ndoto zao. Amebainisha kwamba takribani miaka kumi sasa tangy ameanza kuwasaidia watoto wa mitaani na mpaka sasa amefikisha idadi ya vijana 80 kupitia kampuni yake ya Mr COnnection . Aidha ,Kiongozi Matuta @Mr.Connection amewakusanya vijana kwa kuwapatia elimu na ujuzi s...

TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MASHINDANO YA MISS W0RLD 2027.

Image
   Timothy Marko DmNewsOnline.          DAR ES SALAAM.   TANZANIA  inatarajiwa kuwa Mwenyeji wa Mashindano ya 74ya Miss World yanayotarajiwa kufanyika Mwakani2027. Akizungumza Leo April 20,2026katika Hafla ya Utiliaji saini wa Mkataba wakuwa mwenyeji wa Mashindano hayo jijini Dar es Salaam, Waziri wa Habari, Sanaa, utamaduni Paul Makonda amesemakuwa Mashindano hayo yatajumuisha Nchi Takribani 130 akiwemo mwenyeji wa mashindano hayo ambaye niTanzania. " Zaidi ya Vituo vya TELEVISION vipatavyo 100 na watazamaji Zaidi 20,000 wanatarajiakuhudhuria Mashindanou haya"Amesema Waziri wa Habari Sanaa Utamaduni Paul Makonda. Waziri Makonda Ameongeza kuwa Mashindano hayo yanatarajiwa kufanyika kwa muda wa siku ishirini nane mfululizo. Amesisitiza Mashindano hayo yanatarajiwa kufanyika Tanzania baada ya mashindo ya mwaka huu 2026  kufanyika Nchini Vietnam ambapo Msimu ujao yanatarajiwa kufanyika Nchini Tanzania.  "Tanzania itakuwa mwenyeji wa pi...