VIONGOZI MBALIMBALI WA SERIKALI NA CHAMA WAFIKA KUMPA POLE RAIS DKT. SAMIA KIZIMKAZI MKOA KUSINI UNGUJA VISIWANI ZANZIBAR

 


  Na Mwandishi wetu, DmNewsonline 

              ZANZIBAR 

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi, Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba.

 pamona na Viongozi wengine mbali mbali wa Vyama na Serikali  Sambamba na Wananchi,  wakimfariji  Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Tanzania mara baada ya kufika  nyumbani kwake Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja, kufuatia kufiwa na Mume wake Maalim Hafidh Ameir Hassan aliyefariki Dunia katika Hospitali ya Mzena Zanzibar,    Sept, 07,2026. 





Comments

Popular posts from this blog

MWAKIPOSA ASHINDA NAFASI YA UWENYEKITI WA WENYEVITI WA SERIKALI YA MTAA MKOA WA DAR ES SALAAM

UONGOZI WA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA TIBA ASILI TANZANIA WADAIWA SI HALALI NA UMEKOSA DIRA YA KUENDESHA VYAMA VYA WAGANGA WA TIBA ASILI

WAMILIKI WAMASHAMBA SOMELO_ ZINGIZIWA WAJA JUU WASEMA KUNA MTU ANATAKA KUPORA MAENEO YAO ,WATISHIA KWENDA MAHAKAMI.