DOLA ZA MAREKANI BILIONI 1.31 MAPATO KUTOKA SEKTA YA UTALII NDANI YA MIAKA MITATU
“Katika kipindi cha miaka mitatu idadi ya Watalii Nchini imeongezeka kutoka 922,692 mwaka 2021 walioipatia Nchi mapato dola za Marekani bilioni 1.31 hadi Watalii 1,808,205 mwaka 2023 walioingiza dola bilioni 3.37” - Mobhare Matinyi, Msemaji Mkuu wa Serikali




Comments
Post a Comment