MWENYEKITI ACT _WAZALENDO NGOME YA VIJANA WANAWAKE KUSHEHEREKEA SIKU HIYO KWA KUTEMBELEA WATOTO YATIMA
Timothy Marko DmNews Online
DAR ES SALAAM.
MWENYEKITI Ngome ya Wanawake Taifa wa Chama Cha ACT Wazalendo Janet Rite amewataka Wanawake Nchini kusherekea Siku hiyo kwa kutembelea watoto yatima.
Akizungumza Leo Febuari 26,jijini Dar es Salaam Janeth Rite amesema kuwa Siku hiyo itumike kuona yatima na kuwafariji.
Amesema kuwa Chama hicho kitatumia Marchi 8 ambayo ni siku ya Wanawake kwenda kuwa fariji yatima waliopoteza Wazazi wao sambamba na kufanya Usafi Hospitalini.
"Tutatoa Damu ilikuweza kuokoa Maisha ya watanzania,Tutatembelea Makaburi yawaliofariki October 29,2025." Amebainisha Janet. 






Comments
Post a Comment