RC BALOZI BATILDA BURIAN AFUNGA MAADHIMISHO YA WIKI YA HUDUMA YA FEDHA KITAIFA
Rc Tanga, Balozi Batilda Burian. Leo Januari 26,2025, amefunga Maadhimisho ya wiki huduma ya fedha Kitaifa yaliyofanyika kwenye viwanja vya usagara Mkoani Tanga
Kabla ya kufunga alitembelea mabanda yalikuwa kwenye viwanja hivyo ikiwemo Banda la Benki ya NMB na akawapa hongera kwa kazi kubwa wanayoifanya


Comments
Post a Comment