HINDU SENYANGE AJITOSA UDIWANI VITI MAALUMU SEGEREA

     Na Mwandishi wetu,DmNewsOnline

         DAR ES SALAAM 

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Jumuiya ya Wazazi Kata ya Liwiti Segerea,Hindu Ally Senyange amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Udiwani wa Viti Maalumu Halmashauri ya Ilala.

Fomu hiyo amekabishiwa leo Juni 30,2025 na Katibu wa Umoja wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania(UWT)Wilaya ya Ilala ,Rosemary Mwakisalu

Aidha,Senyange amesema kwamba ameamua kugombea Udiwani wa Viti Maalum ili kuunga mkono jitihada zinazofanywa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuwaletea watanzania maendeleo

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE TAMISEMI YAKOSHWA NA UBORA WA MIRADI YA MAENDELEO KIBAHA TC

MAMBO 10 MAZITO YANAYOIANGAMIZA NA KUIZAMISHA CHADEMA 2024/2025