HAFLA YA UZINDUZI USAMBAZAJI MITUNGI YA GESI
Na Mwandishi Wetu, DmNewsOnline
TANGA
MATUKIO mbalimbali wakati wa hafla ya uzinduzi wa usambazaji mitungi ya gesi ya kupikia na majiko banifu kwa bei ya ruzuku inayofanyika leo Februari 27, 2025 mkoani Tanga.
Mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Rais Samia leo hii amezindua ugawaji wa mitungi ya gesi (LPG) kwa wananchi ikiwa ni sehemu ya juhudi za serikali kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia
Comments
Post a Comment