RAIS SAMIA AFUNGUA KIKAO MAALAMU CHA UWT
Na Mwandishi Wetu,DmNewsOnline
RUVUMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifunga Kikao Maalum cha Baraza Kuu la Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT) Taifa katika ukumbi wa Parokia ya Bombambili, Wilaya Songea Mkoani Ruvuma, leo tarehe 28 Septemba, 2024.
Comments
Post a Comment