ZIMAMOTO WAONESHA UMAHIRI WAKUOKOA MGONJWA KUTOKA GHOROFA YA TISA
Na Mwandishi wetu,DmNewsOnline
DAR ES SALAAM
JESHI la Zimamoto na Uokoaji Jijini Dar es Salaam limeungana kuadhimisha Siku ya Wazimamoto Duniani katika maonesho yaliyofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam
Jeshi Hilo limeonyesha matukio mbalimbali yanayohusisha shughuli za uokoaji ambapo katika hali isiyo ya kawaida kabisa,Askari mmoja ameonyesha umahiri wa hali ya juu na wakuwavutia watazamaji.
Maonesho hayo yalikuwa ya ukakamavu na uwezo wa haraka wa kukabiliana na dharura kumuoko mgonjwa aliyekuwa katika ghorofa ya tisa ya jengo.







Comments
Post a Comment