Posts

Showing posts from December, 2025

JENISTA MHAGAMA NYOTA ILIYOZIMIKA GHAFLA.

Image
   Timothy Marko, DmNewsnline                 Jenister Mhagama ni Mwanasiasa maarufu kutoka Tanzania ambaye amehudumu kwa miaka mingi katika uongozi wa Serikali na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.  Marehemu Mhagama alizaliwa Juni 23, 1967 katika Wilaya ya Songea Mjini, Mkoani Ruvuma Nchini Tanzania.  Jenister Alipata Diploma ya Ualimu kutoka chuo Cha ualimu wilaya ya  Korogwe (Teachers Training College)mkoani Tanga na aliwahi kufanya kazi kama mwalimu kabla ya kuingia kwenye siasa.  Jenista Mhagama  kifo chake kimetokea leo Desember 11,2025 akiwa bado ni mmoja wa viongozi wakubwa wa taifa, na taarifa ya kifo chake ili tangazwa rasmi na Bunge na vyombo vya habari nchini Tanzania Jenista Mhagama alikuwa Mbunge na kiongozi ndani ya Serikali kabla ya awamu hii alikuwa wa afya wa Serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania . Pia marehemu Jenister alikuwa mstari wa mbele katika masuala ya sera, afya, ajira, vi...

MWENYEKITI WA MECIRA AJIBU KAULI ZA WANASIASA

Image
 Na Mwandishi wetu,DmNewsOnline             DAR ES SALAAM MWENYEKITI wa Kituo cha Wanahabari Watetezi wa Rasilimali za Taifa (MECIRA), Habibu Mchange, amekemea vikali kauli za baadhi ya viongozi wa kisiasa wanaodaiwa kutaka kuirudisha Tanzania kwenye mifumo yenye sura ya ukoloni au utumwa. Amesema hayo leo, Desemba 12, 2025 jijini Dar es Salaam, wakati akijibu hoja zilizotolewa na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, kufuatia tamko la chama hicho. Mchange amesisitiza kuwa MECIRA, kama sehemu ya Watanzania, inawakumbusha wanasiasa wote kwamba maslahi ya Taifa yanapaswa kupewa kipaumbele kuliko maslahi binafsi au ya vyama vyao vya siasa.

RAIS DKT. SAMIA AMLILIA JENISTER MHAGAMA

Image

JENISTER MHAGAMA AFARIKI DUNIA LEO JIJINI DODOMA

Image

WAFANYABISHARA SOKO LA NYAMA CHOMA VINGUNGUTI WASHAURIWA KUTANUA BIASHARA ILI WAENDANE NA HADHI YA SOKO

Image
  Na Mwandishi Wetu,DmNewsonline                      DAR ES SALAAM MENEJA soko la Nyama choma la Vingunguti, jijini Dar es Salaam, Iddy Ally amewashauri wafanyabiashara wa soko hilo kutanua wigo wa biashara sokoni hapo ili kuvutia wateja wengi na kulifanya lizidi kuwa la kimataifa. Wito huo umetolewa Disemba 10, 2025 ofisini kwake, alipotembelewa na wanahabari, ambapo pamoja na mambo mengine amesema halmashauri ya Manispaa ya Ilala ilianzisha soko hilo  kwa lengo la wafanyabiashara walitumie kuinuka kiuchumi na kupata sehemu ya kupumzisha akili zao baada ya kazi. “Soko hili limejengwa kwa jitihada za Mkurugenzi wa Jiji  pamoja na aliyekuwa diwani wa kata ya Vingunguti, waliona mbali kujenga soko la Kimataifa la Nyama choma, ambalo kwakweli liko sehemu nzuri kibiashara, na pembezoni mwa barabara.  “Changamoto iliyopo, wafanyabiashara tulio nao wameshindwa kutanua wigo wa bidhaa wanazouza kwenye soko hili, wameng’...

TANZANIAN SCIENTISTS ACHIEVE LANDMARK BREAKTHROUGH IN THE FIGHT AGAINST MALARIA

Image
' New study published in Nature marks a milestone for African-led innovation, as Tanzanian researchers develop genetically modified mosquitoes that block malaria transmission ' In a landmark study published in Nature, scientists from the Ifakara Health Institute (IHI) and the National Institute for Medical Research (NIMR) in Tanzania, in partnership with Imperial College London through the Transmission Zero programme, have successfully developed genetically modified mosquitoes in Tanzania that block the transmission of malaria. “This is the first time a genetically modified, gene drive-compatible mosquito strain has been developed in Africa, by African scientists, targeting malaria parasites circulating in local communities,” said Dr. Dickson Wilson Lwetoijera, Programme Director at IHI. “We are proud to be driving innovation locally, using cutting-edge tools to address one of our continent’s most pressing health challenges.” This milestone represents a powerful new model for g...

ACCELERATED ENTRY : HOW EAST AFRICA LEAPFROGGED INTO THE CLOUD AGE

Image
  By Erkan Satik, Director of Cloud Ecosystem & Alliances at Wingu Africa East Africa has quickly become one of the most dynamic regions for cloud computing. By 2025, around 70–77% of enterprises across the region are using cloud services, placing East Africa among the continent’s leaders in digital adoption1. Unlike Europe or North America, where legacy IT systems slow down transitions, East African firms often build directly on public cloud platforms, which reduces costs and avoids the burden of outdated infrastructure. Globally, cloud spending is expected to exceed $912 billion in 2025, with adoption in the Middle East and Africa expanding at 35% annually2. In Tanzania alone, the public cloud market is projected to reach US$265 million by 2025 with strong annual growth through to 20303. Ethiopia, though later to liberalise its ICT sector, is rapidly scaling its infrastructure and digital strategies, underpinned by major renewable power projects that are unlocking the energy ...

JESHI LA POLISI LATOA NENO LEO DISEMBA 9,2025

Image

SIMBACHAWENE:MAANDAMANO YA DISEMBA 9 NI HARAMU .

Image
  Timothy Marko DmNewsonline         DAR ES SALAAM . WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi George Simbachawene amesema kuwa Maandamano yoyote yanayotarajiwa kufanyika kesho Nchini nikinyume cha Sheria sura 322 nakusisitiza kuwa maandamano hayo ni haramu. Akizungumza Leo Disemba 8,2025 jijini Dar es Salaam Waziri George  Simbachawene amesema kuwa hali yakutokuwa na Uhalali wa maandamano hayo nikutokana na kutokuwa na Kibali cha vyombo vya Ulinzi na Usalama.  "Hivyo basi kutokana nakutokuwa na uhalali hairusiwi kwa mwananchi awaye yeyote kujitokeza,kuchungulia,kwani Mandamano hayo ni haramu"Amesema Ameongeza kuwa unaposema kutakuwa na maandamano kuanzia tarehe9 Desember ambayo hayana kikomo tafasiri yake ni Mapinduzi. Amesisitiza kuwa Nimuhimu kwa viongozi wa Dini kukaa nakuwafundisha waumini  wao juu yakutunza na kudumisha Amani katika taifa. "Maandamano rasmi niyaleyenye ujumbemahususi yanatoka wapi nakuelekea wapi,maandamano yasiyo nakikomo hayan...

MADIWANI SIKONGE WATAKIWA KWENDA NA KASI YA RAIS SAMIA

Image
      Na Allan Kitwe,DmNewsOnline                 SIKONGE MADIWANI wapya wa Halmasahauri ya Wilaya ya Sikonge Mkoani Tabora wameapishwa na kutakiwa kwenda kutumikia wananchi waliowachagua kwa kasi na viwango kama serikali ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan inavyotaka. Wito huo umetolewa jana na Mwenyekiti Mpya wa Halmashauri hiyo Andrea Gasto Lwambano (diwani wa kata ya Kiloleli) mara tu baada ya kuchaguliwa kuongoza halmashauri hiyo kwa kipindi cha miaka mitano ijayo 2025-2030. Amesema kuwa wananchi wana imani na matumaini makubwa kutoka kwa madiwani wao ambao wote wametokana na Chama Cha Mapinduzi (CCM), ndio maana wamewapigia kura za kishindo na kuachana na wapinzani. ‘Ninawashukuru sana ndugu zangu kwa kunipigia kura zote za ndiyo ili niwe Mwenyekiti wenu, nawaahidi kuwa tutafanya kazi kwa ushirikiano mkubwa na kudumisha umoja na mshikamano wetu kwa manufaa ya wananchi’, amesema. Amedokeza kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ameshato...

NYAMA INADAIWA KUANZA KUADIMIKA NA KUPANDA BEI JIJINI DAR ES SALAAM KUELEKEA MWISHONI MWA MWAKA

Image
 Na Mwandishi Wetu,DmNewsonline              DAR ES SALAAM  WAKATI Sikukuu za Christmas na mwaka mpya ikiaminika ndizo zinasababisha kitoweo cha nyama kuadimika na kupanda bei hasa katika Jiji la Dar es Salaam pia taarifa za uwepo wa maandamano Disemba 9, 2025 nazo zinatajwa kusababisha kupanda kwa bei za vyakula hususani nyama. Hayo yamebainishwa disemba 5,2025 na Mwenyekiti wa wafanyabiashara ya mifugo na mazao yake katika machinjio ya Vingunguti, Joel Meshack ambapo amekiri nyama kupanda bei katika kipindi hiki Cha Kuelekea mwishoni mwa mwaka. “Kuanzia Septemba hadi Disemba katika maeneo mengi ya nchi yetu kila mwaka kunakuwa na hali ya ukame, marisho ya mifugo hupungua, hali hii husababisha kitoweo kuadimika. “Ile hali ya Oktoba 29, ilitugusa baada ya Serikali kuweka zuio la kutotembea usiku ilisababisha tushindwe kufanya kazi, maana sisi kazi zetu huwa zinafanyika usiku,” amesema Meshack Amesema hali hiyo ilisababisha nyama kuadimika na ...

UTEKELEZAJI MRADI WA BOLD WAVUTIA WADAU SEKTA KILIMO

Image
  Na Mwandishi Wetu,DmNewsOnline                       Arusha WADAU mbalimbali wa maendeleo katika sekta ya kilimo nchini wameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa ‘Biodiversity for Opportunities, Livelihoods and Development’ (BOLD), unaolenga kuinua sekta ya mbegu kwenye nchi zaidi ya 50 duniani ikiwemo Tanzania, kupitia tafiti zinazoendelea kufanyika. Wakizungumza kwa nyakati tofauti pembezoni mwa warsha inayoendelea ya wadau wa mnyororo wa thamani wa rasilimali za vinasaba vya mimea inayofanyika kwenye Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti na Uendelezaji wa Kilimo cha Mbogamboga Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika (World Vegetable Center)  jijini hapa, wameelezea kufurahishwa na utekelezaji wa mradi huo. Mratibu wa mradi huo kutoka  Global Crop Diversity Trust (Crop Trust),  Benjamin Kilian amesema mradi huo utakuwa mkombozi kwa wakulima wadogo, kwani  umebeba malengo saba  yatakayo leta matokeo endelev...

MBUNGE UKONGA AWASHIKA MKONO WAENDESHA BAJAJI ,BODA BODA UKONGA.

Image
  Na Mwandishi wetu,DmNewsonline          DAR ES SALAAM. OFISI  ya Mbunge wa Jimbo la Ukonga Kwa tiketi ya Chama Cha Act _Wazalendo Bakari Shingo  kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya ya Ilala (DC), Edward Mpogolo wamezindua mafunzo ya usalama barabarani kwa madereva wa pikipiki maarufu bodaboda na bajaji katika jimbo hilo, Uzinduzi huo umefanyika Desemba  3, 2025 kata ya Pugu, ambapo DC Mpogolo akizungumza na wanufaika takribani 140, amemsifu mbunge wa jimbo hilo, Bakari Shingo kuwa ameonesha maana halisi ya kuwa kiongozi. “Sifa ya kiongozi ni kuwahudumia watu bila kuchoka na kuwaonesha kuwa hata shida zao naye zinamgusa. “Shingo ameanzia mbali, amewahi kuwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa, alipoomba uenyekiti hakuwa anajua kama ipo siku atakuwa mbunge, nampongeza baada tu ya kuupata amejitolea kugharamia mafunzo haya jimboni kwake, hili ni jambo zuri,” amesema DC Mpogolo. Sambamba na sifa hizo, amempongeza pia kwa juhudi za kuhamasisha amani k...