MSAMA AJITOSA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA UKONGA

Na Mwandishi Wetu,DmNewsonline 

           DAR ES SALAAM 

MFANYABIASHARA Maarufu jijini Dar es salaam na mkurugenzi wa Msama Promotion Alex Msama leo Juni 29,2025  amechukua fomu ya kuomba ridhaa kugombea Ubunge Jimbo la Ukonga.

Jimbo la ukonga lipo katika Halmashauri ya Manispaa Ilala ambapo pia ndio makazi ya Alex Msama .

Msama amekabidhiwa fomu hiyo mapema leo  na Katibu wa CCM Wilaya ya Ilala,ambaye pia Mkurugenzi wa Uchaguzi Wilayani humo Sylvester Yaredi.

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE TAMISEMI YAKOSHWA NA UBORA WA MIRADI YA MAENDELEO KIBAHA TC

NAIBU WAZIRI NDERIANANGA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA TATU WA KIMATAIFA WA WATU WENYE ULEMAVU UJERUMANI.