KONGAMANO LA PILI LA WANAWAKE TANESCO LAFANYIKA KWA KISHINDO

Na Mwandishi wetu,DmNewsOnline

             DAR ES SALAAM 

WASHIRIKI Mbalimbali  wa Kongamano la Pili la Wanawake wa TANESCO Kuhamasisha Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia ya Umeme  wakizungumza juu ya ushiriki wao katika kongamano hilo na manufaa makubwa waliyoyapata katika ushiriki wao kwenye kongamano hilo. 

Comments

Popular posts from this blog

UONGOZI WA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA TIBA ASILI TANZANIA WADAIWA SI HALALI NA UMEKOSA DIRA YA KUENDESHA VYAMA VYA WAGANGA WA TIBA ASILI

NAIBU WAZIRI NDERIANANGA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA TATU WA KIMATAIFA WA WATU WENYE ULEMAVU UJERUMANI.