KASSIM MAJALIWA AFUTURISHA OFISI YA WAZIRI MKUU, AWATAKA WATANZANIA KUDUMISHA UMOJA NA AMANI.



Timothy Marko DmNews Online 

         DAR ES SALAAM 

WAZIRI MKUU Mstaafu Kassim Majaliwa Majaliwa Amewataka Wananchi kuendeleza misingi ya Amani na utulivu.aliyoasisiwa na watangulizi wetu.

Akizungumza Katika Hafla ya Futari hapo jijini Dar  es Salaam Kassim Majaliwa Amewataka Viongozi wa Dini Nchini  kudumisha Amani na Umoja na kuwataka kutogawanyika kwa Misingi ya Dini.

"Leo katika Futari hii nimebahatikakuwaona Viongozi wa  Madhehebu mbalimmbali wa kisilamu na Wasio Waisilamu hii inamanisha sisi ni Wamoja tusigawanyike katika Misingi ya Dini tuendele kuwa wa moja.

Kwa upande wake Shelkh Mkuu Alhaj Mussa Salum amewataka Wasilamu na wasio waisalamu kuendelea kudumisha Amani iliyopo Nchini nakuwataka Watanzania kutogawanyika katika Misingi  ya Dini.

"Futari hii inadumisha misingi ya Dini ya kuwa wa moja kama alivyo agiza Mtume Mohamed S.AW Leo tupo hapa Na viongozi  wa Dini akiwemo Baba Askofu Boniface Mwamposa hii ni Alama ya Umoja wetu"          

Comments

Popular posts from this blog

UONGOZI WA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA TIBA ASILI TANZANIA WADAIWA SI HALALI NA UMEKOSA DIRA YA KUENDESHA VYAMA VYA WAGANGA WA TIBA ASILI

NAIBU WAZIRI NDERIANANGA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA TATU WA KIMATAIFA WA WATU WENYE ULEMAVU UJERUMANI.