Na Mwandishi wetu,DmNewsOnline 1. Kupoteza Ushawishi kwa Umma: Chama Cha Chadema kimekosa mvuto kutokana na kukimbiwa na wanasiasa wenye uwezo wa kushawishi, wanasheria mahiri, na wanataaluma wakubwa. Wakati zamani walijenga hoja na ajenda zenye nguvu, sasa wamesalia bila nguvu ya kushawishi umma. 2. Migogoro ya Viongozi wa Juu: Mgawanyiko na chuki baina ya viongozi wakuu kama Freeman Mbowe na Tundu Lissu kwa ajili ya nafasi ya urais ni ishara ya ukosefu wa umoja. Migogoro hii inavuruga utendaji na kuashiria kukosekana kwa mshikamano. 3. Chaguzi za Ndani Zenye Matabaka: Mfumo mpya wa usajili "Chadema Digital" umeweka kipaumbele kwa wenye nacho, hivyo kupunguza uaminifu wa chama kwa masikini na kuwagawa wanachama kulingana na uwezo wao kifedha. Je, chama kinachodai kusimama na maskini kinauza kadi kwa milioni moja kwa wanachama wake? 4. Rushwa Inayotawala Chama: Viongozi wa Chadema wanahusishwa na rushwa, kutoka kwa wafanyabiashara wakubwa hadi rushwa ya ngono katika nafasi za...
Comments
Post a Comment