KASESELA ACHUKUA FOMU JIMBO LA RUNGWE.

Na Mwandishi wetu,DmNewsonline

                     MBEYA 

MJUMBE  wa NEC amechukua fomu kuwania ubunge jimbo la Rungwe lililopo Jijini Mbeya,Jimbo hilo ambalo linaongozwa na Mbunge Anton Mwantona hadi sasa.

Mbali na kasesela pia  Jimbo hilo pia linanyemelewa na Gwamaka Mwafwenga aliyekuwa mkurugenzi wa NEMC,  yupo pia Eliud Mwaiteleke, Aliko Mwaiteleke na wengine ambao wameonesha nia ya Ubunge.

Ikumbukwe kuwa Kasesela ameshashika nafasi mbalimbali ndani ya Chama na nje ambapo kwa upande wa Serikali ameshawahi kuwa mkuu wa wilaya ya iringa mjini.



Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE TAMISEMI YAKOSHWA NA UBORA WA MIRADI YA MAENDELEO KIBAHA TC

NAIBU WAZIRI NDERIANANGA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA TATU WA KIMATAIFA WA WATU WENYE ULEMAVU UJERUMANI.