𝗖𝗣𝗔 π— π—”π—žπ—”π—Ÿπ—Ÿπ—” 𝗔𝗭𝗨π—₯𝗨 π—žπ—”π—•π—¨π—₯π—œ π—Ÿπ—” 𝗠𝗔π—₯π—˜π—›π—˜π— π—¨ π—¦π—›π—˜π—œπ—žπ—› π—œπ——π—₯π—œπ—¦ π—”π—•π——π—¨π—Ÿ π—ͺπ—”π—žπ—œπ—Ÿ

Na Mwandishi wetu,DmNewsonline

                ZANZIBAR 

KATIBU wa NEC Itikadi ,Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa ndugu Amos Makalla leo tarehe 30 Januari 2025 akiwa katika Muendelezo wa ziara yake Mikoa 6 ya Zanzibar ametembelea kaburi la Sheikh Idris Abdul Wakil aliyekuwa Rais wa awamu ya Nne katika serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar 1985 - 1990 kwenye Makaburi ya familia Kusini Unguja


Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE TAMISEMI YAKOSHWA NA UBORA WA MIRADI YA MAENDELEO KIBAHA TC

MAMBO 10 MAZITO YANAYOIANGAMIZA NA KUIZAMISHA CHADEMA 2024/2025