DIWANI KATA YA ISYESYE AONGOZA WANACHAMA KUSINDIKIZA WAGOMBEA UENYEKITI ZOEZI LA UCHUKUAJI FOMU



Na Mwandishi wetu,DmNewsOnline
MBEYA 

DIWANI wa kata ya Isyesye(CCM) Jijini Mbeya ,Ibra John  October 28 ,2024 ameongozana na  wanachama wa Chama hizo katika zoezi la uchukuaji  fomu  la  kuwasindikiza wagombea uenyekiti na ujumbe  wa serikali za mitaa  kuchukua fomu  kwa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi wa kata .

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE TAMISEMI YAKOSHWA NA UBORA WA MIRADI YA MAENDELEO KIBAHA TC

MAMBO 10 MAZITO YANAYOIANGAMIZA NA KUIZAMISHA CHADEMA 2024/2025