Popular posts from this blog
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE TAMISEMI YAKOSHWA NA UBORA WA MIRADI YA MAENDELEO KIBAHA TC
Na Victor Massngu,DmNewsOnline, KIBAHA KAMATI ya kudumu ya Bunge ya Tamisemi imesema kwamba imeridhishwa kwa kiasi kikubwa na miradi ya maendeleo katika sekta ya afya na elimu ambayo imetekelezwa katika Halmashauri ya Kibaha mji kupitia fedha zinazotolewa kutoka serikali kuu na nyingine kupitia makusanyo yanayotokana na fedha za mapato yake ya ndani kwa ajili ya kuwaletea wananchi maendeleo. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa kamati hiyo ya kudumu Justine Kamoga wakati wa kamati hiyo ilipofanya ziara yake ya kikazi siku moja katika Halmaashauri ya mji Kibaha yenye lengo la kugagua na kutembelea miradi mbali mbali ya maendeleo kwa lengo la kuweza kujionea mwenendo mzima wa utekelezaji wake. Mwenyekiti huyo amesema kwamba wameweza kufanya ziara hiyo kwa a...
MAMBO 10 MAZITO YANAYOIANGAMIZA NA KUIZAMISHA CHADEMA 2024/2025
Na Mwandishi wetu,DmNewsOnline 1. Kupoteza Ushawishi kwa Umma: Chama Cha Chadema kimekosa mvuto kutokana na kukimbiwa na wanasiasa wenye uwezo wa kushawishi, wanasheria mahiri, na wanataaluma wakubwa. Wakati zamani walijenga hoja na ajenda zenye nguvu, sasa wamesalia bila nguvu ya kushawishi umma. 2. Migogoro ya Viongozi wa Juu: Mgawanyiko na chuki baina ya viongozi wakuu kama Freeman Mbowe na Tundu Lissu kwa ajili ya nafasi ya urais ni ishara ya ukosefu wa umoja. Migogoro hii inavuruga utendaji na kuashiria kukosekana kwa mshikamano. 3. Chaguzi za Ndani Zenye Matabaka: Mfumo mpya wa usajili "Chadema Digital" umeweka kipaumbele kwa wenye nacho, hivyo kupunguza uaminifu wa chama kwa masikini na kuwagawa wanachama kulingana na uwezo wao kifedha. Je, chama kinachodai kusimama na maskini kinauza kadi kwa milioni moja kwa wanachama wake? 4. Rushwa Inayotawala Chama: Viongozi wa Chadema wanahusishwa na rushwa, kutoka kwa wafanyabiashara wakubwa hadi rushwa ya ngono katika nafasi za...
Comments
Post a Comment