REVIVE HOSPITALI KUTOA MATIBABU BURE SEPTEMBA 6 JIJINI DAR ES SALAAM

Na Mwandishi wetu,DmNewsOnline

DAR ES SALAAM 

TAASISIi ya  Rivaivu(Revive) iliopo Jijini Dar s Salaam jirani na hospitali ya Ocean Road inatarajiwa kutoa huduma za matibabu bure bila malipo Septemba 6 na 7 ,2025 ikiwa ni maadhimisho ya siku ya kimataifa ya matibabu ya Physiotherapy. 

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji na muasisi wa Taasisi hiyo ya Revive Dkt.Lekhani Pashine amesema wameamua kuadhimisha siku hiyo kwa kutoa huduma za matibabu ya Physiotherapy ili kuongeza uelewa wa tiba hiyo kwa jamii huku mmoja wa wataalamu wa tiba hiyo Nathanaeli Stanley

Akizungumza jijini Dar es salaam na waandishi wa habari Mkurugenzi Mtendaji na Muasisi wa Taasisi hiyo ya Revive Dokta  Lekhani Pashine amesema wameamua kuadhimisha siku hiyo kwa kutoa huduma za matibabu ya Physiotherapy ili kuongeza uelewa wa tiba hiyo kwa jamii huku mmoja wa wataalamu wa tiba hiyo Nathanaeli Stanley akifafanua kuhusu huduma hiyo na kuwataka wananchi kujitokeza  kwa wingi kupata huduma

Hata hivyo Mtaalamu huyo wa matibabu ya Physiotherapy Nathanael Stanley  ametumia mchoro wa uti wa mgongo wa binadamu kueleza maradhi ya maumivu ya viungo na tatizo la ganzi miguuni linavyotokea na matibabu hayo yalivyo.

Naye Mtaalamu wa 
Physiotherapy  kwa watoto ,Dianarose  Mtery akiwataka wazazi wenye watoto wenye utindio kujitokeza kwa wingi 

Maadhimisho ya siku ya kimataifa ya matibabu ya Physiotherapy yanatarajia kufanyika Septemba 8 mwaka huu siku ya jumatatu lakini hospitali ya Revive wameamua kufanya maadhimisho hayo siku za mwisho wa wiki ili kuhudumia watu wakiwa mapumziko ambapo huduma zitafanyika kwenye kituo kilichopo Posta jirani na Hospitali ya Ocean   

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE TAMISEMI YAKOSHWA NA UBORA WA MIRADI YA MAENDELEO KIBAHA TC

MAMBO 10 MAZITO YANAYOIANGAMIZA NA KUIZAMISHA CHADEMA 2024/2025