MKURANGA, KUMEKUCHA ULEGA MTU WA WATU,MAMA CHATANDA AZINDUA KAMPENI RASMI.

Na Mwandishi wetu,DmNewsonline

                     MKURANGA 

JIMBO la Mkuranga kumekucha ambapo Mgombea ubunge Jimbo hilo Alhaj Abdallah Hamis Ulega  amezindua rasmi kampeni za uchaguzi  wilayani humo

Mkutano mkubwa wa uzinduzi wa kampeni umefanyika katika Viwanja vya shule ya msingi  Mwandege ambapo mgeni rasmi  wa uzinduzi huo wa kampeni alikuwa Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake (UWT) CCM  Taifa Mary Chatanda   


Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE TAMISEMI YAKOSHWA NA UBORA WA MIRADI YA MAENDELEO KIBAHA TC

MAMBO 10 MAZITO YANAYOIANGAMIZA NA KUIZAMISHA CHADEMA 2024/2025