KADA CCM ABUBAKAR OMARY ARUDISHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MANONGA.




Na Tunu Nassir,DmNewsonline

                 IGUNGA 

KADA wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abubakar Omary amerudisha fomu ya kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea nafasi ya Ubunge katika jimbo la Manonga wilaya ya Igunga mkoani Tabora.

 Abubakari anakuwa miongoni mwa wagombea kumi akiwamo mbunge anayemaliza muda wake Seif Gulamali.

Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE TAMISEMI YAKOSHWA NA UBORA WA MIRADI YA MAENDELEO KIBAHA TC

MAMBO 10 MAZITO YANAYOIANGAMIZA NA KUIZAMISHA CHADEMA 2024/2025