DKT. DELILAH KIMAMBO BOSS MPYA MUHIMBILI

Na Mwandishi wetu,DmNewsOnline

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali., Katika uteuzi huo Dkt. Samia amemteuwa Dkt. Delilah Kimambo kuwa  Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, akichukua nafasi ya Prof. Mohamed Janabi aliyeteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani ( WHO ) Kanda ya Afrika.


Comments

Popular posts from this blog

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE TAMISEMI YAKOSHWA NA UBORA WA MIRADI YA MAENDELEO KIBAHA TC

MAMBO 10 MAZITO YANAYOIANGAMIZA NA KUIZAMISHA CHADEMA 2024/2025