Posts

Showing posts from February, 2025

KWENYE URAIS TUMESHAMALIZA _MAJALIWA

Image
Na Mwandishi wetu,DmNewsonline                       ITILIMA  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Chama cha Mapinduzi kimeshamaliza mchakato wa kupata mgombea Urais wa Chama hicho katika uchaguzi Mkuu utakaofanya mwaka 2025.   Ametoa kauli hiyo leo Jumamosi (Februari 15, 2025) wakati Mkutano Mkuu Maalum Chama cha Mapinduzi Jimbo la Itilima, uliofanyika katika uwanja wa Stand Mpya ya Itilima, mkoani Simiyu.   Majaliwa amesema kuwa kutokana na kazi kubwa iliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi chama hicho kimewapa ridhaa ya kuendelea kuwatumikia Watanzania katika kipindi cha 2025-2030.   “Mama yupo na sisi, tunaye na tunaenda nae, Mwaka huu tumewaleta wagombea bora kabisa ambao wamethibitisha bila shaka kwamba utendaji wao umetukuka katika kipindi walichokuwa wanawatumikia watanzania”. ...

Version Conflict: Version Conflict: Version Conflict: MENEJA TIRA KANDA YA MASHARIKI AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUKATA BIMA.AIPONGEZA SERIKALI

Image
Na Mwandishi wetu,DmNewsOnline            DAR ES SALAAM   MAMLAKA ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) ni taasisi ya Serikali ambayo  ilianzishwa kwa Sheria ya Bima Na.10 ya mwaka 2009 ikiwa chini ya Wizara ya Fedha na Mipango. Mamlaka ina majukumu ya kumlinda  mteja wa bima pia kuhakikisha kwamba wateja wa bima wanapata fidia stahiki na kwa wakati huku ikishughulikia malalamiko dhidi ya watoa huduma za bima pia inatoa miongozo mbalimbali kuhusu masuala ya bima pamoja na kutoa elimu ya bima kwa jamii. TIRA pia inajukumu la kusajili makampuni ya bima yawe na leseni na kwa sasa yapo makampuni 40  na kuhakikisha yanatoa huduma bora kwa wananchi pamoja kuyatembelea makampuni hayo ili yaweze kulipa madai ya fidia kama inavyostahili na ukaguzi huo unafanyika mara kwa mara na kwa nyakati tofauti. Akizungumza na Mwandishi wa habari kutoka  DmNews Online ,Meneja wa TIRA Kanda ya Mashariki Zakaria E.Muyengi amesema TIRA ina kanda mbalimb...

Version Conflict: Version Conflict: MENEJA TIRA KANDA YA MASHARIKI AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUKATA BIMA.AIPONGEZA SERIKALI

Image
Na Mwandishi wetu,DmNewsOnline            DAR ES SALAAM   MAMLAKA ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) ni taasisi ya Serikali ambayo  ilianzishwa kwa Sheria ya Bima Na.10 ya mwaka 2009 ikiwa chini ya Wizara ya Fedha na Mipango. Mamlaka ina majukumu ya kumlinda  mteja wa bima pia kuhakikisha kwamba wateja wa bima wanapata fidia stahiki na kwa wakati huku ikishughulikia malalamiko dhidi ya watoa huduma za bima pia inatoa miongozo mbalimbali kuhusu masuala ya bima pamoja na kutoa elimu ya bima kwa jamii. TIRA pia inajukumu la kusajili makampuni ya bima yawe na leseni na kwa sasa yapo makampuni 40  na kuhakikisha yanatoa huduma bora kwa wananchi pamoja kuyatembelea makampuni hayo ili yaweze kulipa madai ya fidia kama inavyostahili na ukaguzi huo unafanyika mara kwa mara na kwa nyakati tofauti. Akizungumza na Mwandishi wa habari kutoka  DmNews Online ,Meneja wa TIRA Kanda ya Mashariki Zakaria E.Muyengi amesema TIRA ina kanda mbalimb...

Version Conflict: MENEJA TIRA KANDA YA MASHARIKI AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUKATA BIMA.AIPONGEZA SERIKALI

Image
Na Mwandishi wetu,DmNewsOnline            DAR ES SALAAM   MAMLAKA ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) ni taasisi ya Serikali ambayo  ilianzishwa kwa Sheria ya Bima Na.10 ya mwaka 2009 ikiwa chini ya Wizara ya Fedha na Mipango. Mamlaka ina majukumu ya kumlinda  mteja wa bima pia kuhakikisha kwamba wateja wa bima wanapata fidia stahiki na kwa wakati huku ikishughulikia malalamiko dhidi ya watoa huduma za bima pia inatoa miongozo mbalimbali kuhusu masuala ya bima pamoja na kutoa elimu ya bima kwa jamii. TIRA pia inajukumu la kusajili makampuni ya bima yawe na leseni na kwa sasa yapo makampuni 40  na kuhakikisha yanatoa huduma bora kwa wananchi pamoja kuyatembelea makampuni hayo ili yaweze kulipa madai ya fidia kama inavyostahili na ukaguzi huo unafanyika mara kwa mara na kwa nyakati tofauti. Akizungumza na Mwandishi wa habari kutoka  DmNews Online ,Meneja wa TIRA Kanda ya Mashariki Zakaria E.Muyengi amesema TIRA ina kanda mbalimb...

MENEJA TIRA KANDA YA MASHARIKI AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUKATA BIMA.AIPONGEZA SERIKALI

Image
Na Mwandishi wetu,DmNewsOnline            DAR ES SALAAM   MAMLAKA ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) ni taasisi ya Serikali ambayo  ilianzishwa kwa Sheria ya Bima Na.10 ya mwaka 2009 ikiwa chini ya Wizara ya Fedha na Mipango. Mamlaka ina majukumu ya kumlinda  mteja wa bima pia kuhakikisha kwamba wateja wa bima wanapata fidia stahiki na kwa wakati huku ikishughulikia malalamiko dhidi ya watoa huduma za bima pia inatoa miongozo mbalimbali kuhusu masuala ya bima pamoja na kutoa elimu ya bima kwa jamii. TIRA pia inajukumu la kusajili makampuni ya bima yawe na leseni na kwa sasa yapo makampuni 40  na kuhakikisha yanatoa huduma bora kwa wananchi pamoja kuyatembelea makampuni hayo ili yaweze kulipa madai ya fidia kama inavyostahili na ukaguzi huo unafanyika mara kwa mara na kwa nyakati tofauti. Akizungumza na Mwandishi wa habari kutoka  DmNews Online ,Meneja wa TIRA Kanda ya Mashariki Zakaria E.Muyengi amesema TIRA ina kanda mbalimb...

MHANDISI MASAUNI:UCHUMI WA BULUU NI DHANA INAYOCHAGIZA UKUAJI WA UCHUMI.

Image
Na Mwandishi wetu,DmNewsonline                  DODOMA  WAZIRI  wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Hamad Yusuf Masauni amesema Uchumi wa Buluu ni dhana inayochagiza ukuaji wa uchumi kupitia matumizi endelevu ya rasilimali za maji kwa kuzingatia uhifadhi wa mazingira na ushirikishwaji wa jamii. Mhandisi Masauni ameyasema hayo wakati wa kikao cha Mawaziri cha kuwasilisha mpango kazi wa utekelezaji wa shughuli za Uchumi wa Buluu nchini kwa mwaka 2024/25 na 2025/26 kilichofanyika leo februari 13,2025 jijini Dodoma. “Shughuli za Uchumi wa Buluu hapa nchini zinatekelezwa kwa sera, sheria, miongozo, mikakati na mipango ya kisekta ikiwemo, Uvuvi, Nishati, Uchukuzi, Maliasili na Utalii, Maji, Umwagiliaji, Viwanda na Biashara, Uhifadhi wa Mazingira, Madini, na Uwekezaji. “Pamoja na uwepo wa sera na sheria hizo, kumekuwepo na changamoto mtambuka zinazochangia Taifa kutonufaika ipasavyo na rasilimali za Uchumi wa B...

MENEJA TIRA KANDA YA MASHARIKI AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUKATA BIMA.AIPONGEZA SERIKALI

Image
Na Mwandishi wetu,DmNewsOnline            DAR ES SALAAM   MAMLAKA ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) ni taasisi ya Serikali ambayo  ilianzishwa kwa Sheria ya Bima Na.10 ya mwaka 2009 ikiwa chini ya Wizara ya Fedha na Mipango. Mamlaka ina majukumu ya kumlinda  mteja wa bima pia kuhakikisha kwamba wateja wa bima wanapata fidia stahiki na kwa wakati huku ikishughulikia malalamiko dhidi ya watoa huduma za bima pia inatoa miongozo mbalimbali kuhusu masuala ya bima pamoja na kutoa elimu ya bima kwa jamii. TIRA pia inajukumu la kusajili makampuni ya bima yawe na leseni na kwa sasa yapo makampuni 40  na kuhakikisha yanatoa huduma bora kwa wananchi pamoja kuyatembelea makampuni hayo ili yaweze kulipa madai ya fidia kama inavyostahili na ukaguzi huo unafanyika mara kwa mara na kwa nyakati tofauti. Akizungumza na Mwandishi wa habari kutoka  DmNews Online ,Meneja wa TIRA Kanda ya Mashariki Zakaria E.Muyengi amesema TIRA ina kanda mbalimb...

VIONGOZI NA WANANCHI TUSHIRIKIANE UJENZI UWANJA WA MPIRA ILI KWENDA KWA KASI INAYOTAKIWA.PROF.KABUDI

Image
Na Deborah Lemmubi,DmNewsonline                  DODOMA WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Palamagamba Kabudi ametoa Rai kwa Viongozi na Wananchi wa Jiji la Dodoma kushirikiana kwa karibu katika kusimamia mradi wa ujenzi wa uwanja wa mpira wa Kisasa ikiwemo kukamilisha miundombinu wezeshi itakayomsaidia Mkandarasi kwenda kwa kasi inayotakiwa katika ujenzi wa uwanja. Prof.Kabudi amesema haya wakati wa hafla ya utiaji saini Mkataba wa Ujenzi wa uwanja wa mpira Dodoma sambamba na kumkabidhi kazi Mkandarasi katika hafla iliyofanyika leo Februari 13,2025 jijini Dodoma . Amesema moja kati ya vitu muhimu ambavyo vinapaswa kuwepo wakati wa utekelezaji wa ujenzi huo ni pamoja na kupataikana kwa Maji,Umeme, Huduma za zima moto na Mazingira wezeshi ya kuweza kufika katika eneo hilo kunakojengwa uwanja huo. "Ndugu viongozi na ndugu wananchi katika kuhakikisha mradi huu unakamilika kwa wakati ni dhahiri kwamba lazima tushirikiane kwa ka...

PROF.KABUDI: WATANGAZAJI MSIWE MOJA YA WATU WA KUFUBAZA NA KUDUMAZA KISWAHILI KWA KUTUMIA MANENO FASAHA NA SANIFU KATIKA LUGHA.

Image
Na Mwandishi wetu,DmNewsonline                    DODOMA  WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Paramagamba Kabudi amesema mbali na  utangazaji kuendana  na sauti inayovutia lakini ni vizuri kuwepo kwa matamshi fasaha sambamba na matumizi fasaha na sanifu ya lugha inayotumiwa katika Utangazaji. Prof. Kabudi ameto kauli hii  mapema Leo Februari 13,2025 Jijini Dodoma katika ufunguzi wa Mkutano wa Mwaka wa vyombo vya Utangazaji  Nchini ulioenda sambamba na maadhimisho ya Siku ya Redio Duniani. Wàziri prof Kabudi amesema hivi karibuni  kumekuwa na changamoto ya kufubazwa na kudumazwa kwa kiswahili kwa kuyapa maana maneno yasiyostahili. Mfano uyu badala ya huyu au asira badala ya hasira. Amesema Kuna haja ya  vyombo vya habari kuepuka kufubaza lugha ya kiswahili na kuhakikisha wanakuwa upande wa kusahihisha makosa hayo katika jamii.  "Utangazaji huendana na sauti inayovutia na yenye kutamk...

Version Conflict: Version Conflict: Version Conflict: Version Conflict: PROF.KABUDI: WATANGAZAJI MSIWE MOJA YA WATU WA KUFUBAZA NA KUDUMAZA KISWAHILI KWA KUTUMIA MANENO FASAHA NA SANIFU KATIKA LUGHA.

Image
Na Debora Lemmubi,DmNewsonline                    DODOMA  WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Paramagamba Kabudi amesema mbali na  utangazaji kuendana  na sauti inayovutia lakini ni vizuri kuwepo kwa matamshi fasaha sambamba na matumizi fasaha na sanifu ya lugha inayotumiwa katika Utangazaji. Prof. Kabudi ameto kauli hii  mapema Leo Februari 13,2025 Jijini Dodoma katika ufunguzi wa Mkutano wa Mwaka wa vyombo vya Utangazaji  Nchini ulioenda sambamba na maadhimisho ya Siku ya Redio Duniani. Wàziri prof Kabudi amesema hivi karibuni  kumekuwa na changamoto ya kufubazwa na kudumazwa kwa kiswahili kwa kuyapa maana maneno yasiyostahili. Mfano uyu badala ya huyu au asira badala ya hasira. Amesema Kuna haja ya  vyombo vya habari kuepuka kufubaza lugha ya kiswahili na kuhakikisha wanakuwa upande wa kusahihisha makosa hayo katika jamii.  "Utangazaji huendana na sauti inayovutia na yenye kutamk...

Version Conflict: Version Conflict: PROF.KABUDI: WATANGAZAJI MSIWE MOJA YA WATU WA KUFUBAZA NA KUDUMAZA KISWAHILI KWA KUTUMIA MANENO FASAHA NA SANIFU KATIKA LUGHA.

Image
Na Debora Lemmubi,DmNewsonline                    DODOMA  WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Paramagamba Kabudi amesema mbali na  utangazaji kuendana  na sauti inayovutia lakini ni vizuri kuwepo kwa matamshi fasaha sambamba na matumizi fasaha na sanifu ya lugha inayotumiwa katika Utangazaji. Prof. Kabudi ameto kauli hii  mapema Leo Februari 13,2025 Jijini Dodoma katika ufunguzi wa Mkutano wa Mwaka wa vyombo vya Utangazaji  Nchini ulioenda sambamba na maadhimisho ya Siku ya Redio Duniani. Wàziri prof Kabudi amesema hivi karibuni  kumekuwa na changamoto ya kufubazwa na kudumazwa kwa kiswahili kwa kuyapa maana maneno yasiyostahili. Mfano uyu badala ya huyu au asira badala ya hasira. Amesema Kuna haja ya  vyombo vya habari kuepuka kufubaza lugha ya kiswahili na kuhakikisha wanakuwa upande wa kusahihisha makosa hayo katika jamii.  "Utangazaji huendana na sauti inayovutia na yenye kutamk...